Pages

Saturday, May 18, 2013

DK SHEIN AZINDUA TAWI LA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NNYERERE ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,huko Bububu Zanzibar leo. Kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Dk.Salim Ahmed Salim

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo Dk. John Magoti, baada ya kuzindua rasmi  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mshauri wa Kitaalamu wa Chuo cha Ardhi serikali ya Muungano Dk.Staulans Ntiyakunze,(wa tatu kulia) baada ya kuzindua rasmi  Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,huko Bububu Zanzibar leo. Kushoto ni  Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Dk.Salim Ahmed Salim

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiangalia meza na vikalio vyake wakati alipotembelea moja ya madarasa katika  Tawi la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere,huko Bububu Zanzibar leo, baada ya kuzindua Chuo hicho,(kushoto) Mkuu wa Chuo Dk. John Magoti, na pili kulia makamo wa kwanza wa Rauis wa Maalim Seif Sharif,akifuatiwa na Mwenyekiti wa Bodi
ya Chuo Dk.Salim Ahmed Salim.[

Mwalimu wa Darasa la Kompyuta Julius Maungo,akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipotembelea katika darasa la kompyuta chuoni hapo

 Baadhi ya wanafunzi wa Chu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Tawi la Zanzibar wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa chuo hicho leo 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akipokea zawadi kutooka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere  Dk.Salim Ahmed Salim,wakati wa uzinduzi wa Tawi la Chuo hicho uliofanyika leo huko Bububu Nje ya Mji wa Zanzibar. Picha zote na Ramadhan Othman,Ikulu

No comments:

Post a Comment