Pages

Friday, May 10, 2013

BAD TASTE PICTURE:TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HII: POLISI WAUA MTOTO WA MIAKA 9 KWA RISASI HUKO TARIME


 

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4

Haya ndiyo yaliyofanyika tarime jana mtoto wa miaka 9 kuuuwa na jeshi la polisi kwa uzembe eti wanawakamata majambazi ambao si wale wanaoiba na kuuwa watu mpakani mwa Tanzania na Kenya kashuhudie mwenyewe uone .

 mwili wa marehe Deo Yakob mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi Mturu mjini Tarime hapa nimelishuhudia hili.

Source: http://www.jamiiinformation.blogspot.com/


No comments:

Post a Comment