Pages

Sunday, May 12, 2013

DUNIANI BANA KAZI IPO HEBU ONA HII NAYO :NEW CITY,NEW STATE, NEW LIFE......DAY 2....



Orijino Muke ya Muzungu....


Dont i look like a mannequin in this pic??? lol

Awwwww..... flawless!!!





Early in the morning we met with our realtor John , introduced to us by my girl Theo.
Thank you mama Shani, John is great!!!
By the time we got back to out hotel nilikuwa nakaribia kulia kwa kuchoka....lol

My husband is super organized, he even brought a map and marked the areas
we wouldnt mind buying a house in.......

Wao wanaongea mie najipiga picha.. hahahahha

Im seriously in love with myself.....hehehhehehe


'All i need in this life of sin , is me and my girlfriend
Down the ride till the very end it's me and my boyfriend'


Lunching at a Japanese restaurant...

Nothing is more ratchet than not using the sticks when eating at a Japanese restaurant...lol
It's easy just practice...
The jealous wife goes like 'who you texting?' lol



COMMENTS (21)

  • rosalyn

    ROSALYN

    12 May 2013 at 11:42 | 
    Ceo i love when u liv us in puzzles watu wataashwa mpaka moyo. Mi ntasubr tu mana kugess cwez, i hv neva bn ther hehehhee. Na kauso kamependeza hapo
    • Anonymous

      ANONYMOUS

      12 May 2013 at 11:43 | 
      MANGE KUSEMA UKWELI UNAOVERDO IT..WE CALL IT WE NI MSHAMBA BADO SAAANAnewpost
      • space

        SPACE

        12 May 2013 at 12:04 | 
        Mshamba wewe na ukoo wako,kwanza unafanya nini kwenye blog ya mtu mshamba si uende kwa wajanja? watu wengine kama mna mtindio wa ubongo...Kanye mbele huko tutolee giza hapa,bitch
        • Louis VNITTON

          LOUIS VNITTON

          12 May 2013 at 12:04 | 
          Hahahaaaa ndio maana huwa mnaachwa na waume zenu kwa kuogopa mkipendeza sana mtaonekana washamba. Wacha nikupe ujanja wa porini, wanaume wako proud when wanawake wao wanapopendeza sana, its the matter of territory. Sasa ukitoka mchafu mchafu uko hovyo hovyo ndio unakuta haweki hata mkono kwenye kiuno chako au hakushiki hata mkono anatangulia zake mbele.

          Mange umependeza sana mwaya, I love the dress, the hair the face everything is on point Mangenita, oops sorry baby yake, I cant help it najikuta tu nimetumia hilo jina kwa nia nzuri tu ya kumsifia baby yako lol!

          Sio wanawake wengine wakizaa mtoto mmoja tu basi anachacha huyoo balaa, atanuka maziwa, mikojo, uso ka bi kizee kisa eti yeye ni mke na mama lol!
          • k0ku

            K0KU

            12 May 2013 at 12:12 | 
            Yaani umeshindwa hata kumpikia hawala yako leo kisa unawahi kuwa wa kwanza kucomment kwenye hii blog ya mshamba. Mtakesha sana mwaka huu kwa kujua yanayojiri humu..
          • Anonymous

            ANONYMOUS

            12 May 2013 at 11:44 | 
            • Anonymous

              ANONYMOUS

              12 May 2013 at 11:45 | 
              upo juu mama kenzoki
              • Anonymous

                ANONYMOUS

                12 May 2013 at 11:46 | 
                • k0ku

                  K0KU

                  12 May 2013 at 11:46 | 
                  Shit! I love ur lipstick shit! I hope hata perfume uliipaka it smells like shit. Shit! The dress shit. Shit! The house uliyopose shit. Shit! The car shit. Shit! Mr john shit. Shit! We haters we r in a deep shit!... Please dont go back where u belong.. Waachie akina da zenat kila kitu kilichopo,wewe hiyo life ndii inakupendeza.. Happy mothers day wanawake wote mliozaa kwa uchungu japo hata wa epidural.. U deserve big tym....
                  • Louis VNITTON

                    LOUIS VNITTON

                    12 May 2013 at 11:51 | 
                    hahahahahaha askari umefuzu mafunzo, lazima uwapeleke kijeshi keshi kama wanakwenda uchaka lol! Mange wewe kweli ni hamnazo jinsi ulivyofuta signs, na landmarks lol!

                    Hivi ndivyo unavyotakiwa kufanya, waachewhitch waguess guess weee, by the time wanastuka wewe ushatia timu zamani. Sasa wachukue hizo piche wakagugu kwenye google earthhahahahahaha
                    • Muke ya Mujapan

                      MUKE YA MUJAPAN

                      12 May 2013 at 11:52 | 
                      heheheh wera wera :hakunaga:kamamangekanuna
                      • space

                        SPACE

                        12 May 2013 at 11:54 | 
                        Mange awwww umetoka nyokoooooo,... :nanikanuna:mi nasubiria tu kujua unapohamiaaaa,naona wazee wa kupiga mawe kimyaaaa wamepatwa na ganz ghafla....hahaaaaI dont want to see ..watu pipooooooooMJ
                        • Anonymous

                          ANONYMOUS

                          12 May 2013 at 11:56 | 
                          • m a r i c h u i

                            M A R I C H U I

                            12 May 2013 at 12:02 | 
                            ceo sijaona tangazo ya hiyo blue dress kuwepo July ...Please confirm ..wengine wagonjwaaaa na Blue ...
                            • Anonymous

                              ANONYMOUS

                              12 May 2013 at 12:03 | 
                              • k0ku

                                K0KU

                                12 May 2013 at 12:05 | 
                                Nimeipenda hiyo ya jealous wife! Kibongo bongo mbona simu ishavunjika kwa kukurukakara..lol..mange unakula kwa tabu kutumia hivyi vichop stick,hebu checkishia hilo bega lilivyopanda juu kama mkurya jeshini anayevalishwa cheo kipya na mkuu wa majeshi.lol



                                • LOUIS VNITTON
                                  12 May 2013 at 12:13 | 
                                  Hahahaaa bado kuruta huyo karibu atakuwa service woman lol, akishamaliza ukuruta tu tunaanza kumpa nyota moja hadi nyingine mpaka anafika ngazi ya kupewa ngao na kupata cheo cha u Major General, Akishatulia mwaka mzima akawa wanga wakimchokoza anawapotezea ndio tutamaliza kwa kumpa cheo cha General wa jeshi la Uturn.
                                  • space

                                    SPACE

                                    12 May 2013 at 12:15 | 
                                    Koku hahaaaa hua unanichekesha sana,i wish nije nikuone siku moja...hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lov u

                                  Optional login below.

                                  No comments:

                                  Post a Comment