Pages

Thursday, May 9, 2013

IRINGA KUMEKUCHA :MGOMO WA DALADALA UMEANZA KWA KASI IRINGA ASUBUHI HII


 




Mgomo  wa  daladala  umeanza  kwa  kasi katika mji  wa Iringa baada ya daladala  zote  kugoma  kufanya kazi na  kupelekea  wananchi  kutembea kwa miguu  kwenda makazini na  wanafunzi  kuchelewa katika  vituo kwenda mashuleni.


Hali  hiyo ya mgomo  imeanza  kutikisha  na kufanya  polisi  kuingilia kati  kuwatuliza  madereva  wasigome jitihada  zinazoendelea  hadi  sasa.

mtandao  huu  wa mollelwatz.blogspot.com ambao upo eneo la tukio kwa  sasa  eneo ;a kihesa  umeendelea  kushuhudia machungu ya mgomo  huo

Hata  hivyo usafiri  unaofanya kazi ni bajaji  ,pikipiki na Taxi ambapo nauli  kwa kichwa katika bajaji  Tsh. 3000 wakati Taxi kwa kila kichwa Tsh 1000
 
 

No comments:

Post a Comment